Mnamo tarehe 11 mwezi wa 9 mwaka 2001,shambulio kubwa la hatari katika nyakati za asubuhi kundi la alkaida walitumia ndege ya abiria ilikuwa imebeba wafanyabiashara na na kulilipua jingo pacha la kituo cha kibishara cha kimataifa linajulikana kama WTC lilopo katika jiji la New York .
Tukio hilo lilisababisha watu wote waliokuwepo ndani ya ndege hiyo kupoteza maisha yao nawatu wote waliekuwemo ndani ya ndege hiyo,pamoja na majengo ambayo yamelizunguka jingo hilo wikipedia http://en.wikipedia.org
kwa mujibu wa wa wizara ya afya ya marekani zaidi watu 800 walipoteza maisha yao wakiwemo wahudumu wa zima moto na askari polisi walikuwa wakitoa msaada kwa wanachi
Licha ya shambulio hilo kutokea jingo la WTC-7 halikushambuliwa na ndege yeyote lakini lilionekana kushika moto sehemu chache katika jengo hilo hususan kaskazini mwa jenjo hilo kabla ya kuangakaka. http://911research.wtc7
No comments:
Post a Comment