About Me

i am swalwhe kiluvia ,i would like to have defefernt frends to share idea

Friday, November 19, 2010

Hongera wawezeshaji

Nilipoanza mafunzo mafupi ya waandishi wa habari mnamo tarehe 15 nov hadi hii leo tarehe 19 nov  2010 sikuwa na ufahamu wa kutosha katika kutembelea mitandao mbalimbali yaani Web Site ili kutafuta habari na kuweza kuwa na mawasiliano ya moja kwa moja na waandishi wenzangu wa habari.

Hata hivyo kwa hivi sasa baada ya kozi hii ya kutumia mtandao ,yaani internet,chini ya wezeshaji wetu hususan Peik Johansson  kutoka katika taasisi ya VIKES The finnish foundation for media,communication and development alituelekeza namna ya kufungua blogs zetu na kutembelea katika tovuti mbalimbali.

Lakini sio Johansson peke yake ,pia tmekuwa muwezesha ambaye ni muandikaji maarufu hapa nchini wa makala Majid Mjengwa ambaye pia ametufundisha mengi ,ikiwemo kundaa vema tovuti zetu blogs.

Hakika tumeyafurahia sana mafunzo haya ,na ninaimani kuwa washiriki wote wa mafunzo haya ,hakuna alietoka kapa,.shukurani za pekee kwa Missa tan na Vikes  la nchini Finland kwa kutuandalia mafunzo haya adhim.

Thursday, November 18, 2010

world trade center

Mnamo tarehe 11 mwezi wa 9 mwaka 2001,shambulio kubwa la hatari katika nyakati za asubuhi kundi la alkaida walitumia ndege ya abiria ilikuwa imebeba wafanyabiashara na na kulilipua  jingo pacha la kituo cha kibishara  cha kimataifa linajulikana kama WTC lilopo katika jiji la New York .

Tukio  hilo lilisababisha watu wote waliokuwepo ndani ya ndege hiyo kupoteza maisha yao nawatu wote waliekuwemo ndani ya ndege hiyo,pamoja na majengo ambayo yamelizunguka jingo hilo wikipedia http://en.wikipedia.org

kwa mujibu wa wa wizara ya afya ya marekani zaidi watu 800 walipoteza maisha yao wakiwemo wahudumu wa zima moto na askari polisi walikuwa wakitoa msaada kwa wanachi

Licha ya shambulio hilo kutokea jingo la WTC-7 halikushambuliwa na ndege yeyote lakini lilionekana kushika moto sehemu chache katika jengo hilo hususan kaskazini mwa jenjo hilo kabla ya kuangakaka. http://911research.wtc7

Ahamed Khalifani Ghailani

Mahakama ya kiraia nchini marekani ,imeuingiza hatiani  raia wa Tanzania Ahamed Khalifani ghailani kwa kula njama ya kushambulia kwa bomu mali ya taifa la marekani
Ghailani alishitakiwa kwa kosa la kuhusika katika mashambulizi ya kundi la kigaidi la alkaida  dhidi ya ubalozi wa marekani nchini kenya na Tanzania mwaka 1998 ambapo katika tukio hilo walifariki watu 224
Katika taarifa hiyo inasema ghailani alichangia kwa kiasi kikubwa maandalizi na mipango ya kulipuo ubalozi huo nchini Tanzania na kenya,kwa kununua mitungi na ya gesi zilizolipuka pamoja na lori lilobeba milipuko hiyo.
Hata hivyo ushahidi uliowasilishwa na upade wa ushahidi mbele ya mahakama hiyo ya marekani ,zimekataliwa kwa kuwa zimekusanywa na maafisa wa ujasusi wa marekani kwa njia isiofaa,hivyo kumpata na hatia ya kosa moja ya kupanga kuharibu mali ya majengo ya serikali
Maafisa hao wa ujasussi wanadaiwa kutumia mbinu ya kumuhoji mshukiwa kwa kutumia njia ya kumtesa kutoa habari  na kukiri mashtaka.

Dakata Wangare na mazingira

\
Mangare Maathai ambaye ni muasisi wa taasisi isiokuwa ya kiserikali green belt movement amepata  tunzo ya nobel kutokana na juhudi zake za kutetea  utawala bora ,kudumisha amani na uhifadhi mzuri wa mazingira nchini Kenya.

Taasisi hii iliasisiwa mwaka 1977 na dakta Mangare  Maathai ambaye ni mwanamke wa kwanza mwana mazingira kupata tunzo hii,ambaye aliepata tunzo hii mwaka 2004.

Dakta sio amelenga juhudi za kutunza mazingira nchini humo lakini pia kuwasaidia kina mama  wa Afrika ,kwa kuwa wao ndio wanapata dhiki zaidi kutokana na uharibifu wa mazingira kwa kupanda miti lakini pia kwakizazi kijacho.

Juhudi za kutunza mazingira suala la msingi kwa kila mtu hivyo ni vyema kuendeleza juhudi zilizianzisha na Dakta Mangare ili kudumisha juhudi hizi kwa mnafufaa ya waafarika wote na ulimwengu kwa ujumla.




Wednesday, November 17, 2010

tanzanian onlinemedia


The training has continuous, by looking more web site, and we able to make research through computer, to find the name of the leaders and the capital city of different country,
by using web.

Some of the web site that we learn today is Africa good news, monitor, BBC, . aljazeera, awdal news, internet world stats and Reuters.english.aljazeera.

Research through internet

Research through internet


The training has continuous, by looking more web site, and we able to make research through computer, to find the name of the leaders and the capital city of different country,
by using web.

Some of the web site that we learn today is Africa good news, monitor, aljazeera, awdal news, and Reuters.


Tuesday, November 16, 2010

Let wash our brain

The journalist of the northern zone have continuous to enjoy the internet  training, where by some of journalist proud to each other that there media better than other and has a lot of riders ,without having any research that can support them.

Also their proud that their newspaper sells a large quantity compare to the other, but they didn’t having any data, it was very fanny. But generally to day we lent how to visit deferent web, and to enter massage in our blog.

We have learn also more web eg alexa ,Ips,bongo podcast extra and I hope this program can wash the brain of journalist in this cause .
  

We need correct information

I use to read all news paper in so as to get proper information in Tanzania ,because every news paper hear in our country it has his own policy ,some of them belong to political party, and other, owned by private sector ,therefore every media report according  to his boss.

So I try to read deferent media so as to get deferent information, because you can’t get real information without doing so. I very sorry  that  there is no follow up of media law and ethic in Tanzania media.

Although their many professional journalist, but I am very sorry according to environment which face the journalist, it will be very difficult  for  the to follow the low and rule of journalism, most of them are not have assurance to get daily bread, and unfortunately the don’t have place to get solution of their problem.

I am say this because, most of the institution have employed only few journalist who the pay them good salaries, but most of the little amount dos not enough to live for mouth  ,
They try to find illegal way of getting income.

For this consequences most of the people trust on international media like  British broadcasting cooperation BBC, voice of America  VOA and Doutch well

I would like to advise my fellow journalist to blog  and other web to find their right rather than only find other voice less find ,so to enable them self to make good job according to his or her  profession

The second day

My name is Swalehe Kiluvia, yesterday I learn a lot, some of the things that I have learn is how to find information from different websites, we learnt more than ten websites

We have use web sit to see the map and also how to book the ticket and to buy the ticket. but the area that I did not understand well is how to buy he ticket although I can open the web of  the deferent financial institution but I cant combine the information this institution and the organization that I want to buy the ticket

Monday, November 15, 2010

mali ya nchi ni watu

Mimi naitwa Swalehe Kiluvia,kazi yangu ni muandishi wa habari , mwenye fani ya uandaji wa , wa vipindi vya radio na televisheni,huusan katika kuandaa makala ya habari na  habari kwa ujumla.

Nimezaliwa mwaka 1972 katika mkoaa wa Arusha uliko kaskazini mwa Tanzania ,amabapo nimepata elimu yangu ya msingi Meru na kumaliza  mwaka 1972 na elimu ya sekondari nimepata katika shule ya sekondari Bondeni mwaka 1991 zilizopo mjini Arusha 

Baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari nilichukua kozi totauti ikiwemo kozi ya uboharia,na baaadae kujiunga na chuo cha uandishi wa Habari cha Time school of journalism [T.S.J]

Baada ya kumaliza masomo yangu nilipata fursa ya kufanya kazi katika vituo mbalimbali vya habari ,ikiwepo Televisheni ya Taifa [T.V.T] ambapo kwa sasa inaitwa T.B.C1 na radio Tanzania [RTD] na baadaye kujiunga na shirika la utangazaji la uingereza BBC.

Hivi sasa nafanyakazi katika Radio Arusha One inayomilikiwa na mtu binafsi kama  meneja mipango.

Kwa kupata kozi  hii ya waadishi wa habari kuhusiana na mtandao wa komputa kwa kanda ya kaskazini ,ulioandaliwa na Missa tan kwa kushirikiana na tasisi ya The Finnish  Foundition for Media,Commonication and Development ,ya finland., ninaitumia katika kuboresha taaluma yangu ya uaandaaji wa vipindi mbalimbali vya makala na habari katika Radio na Televisheni.