About Me

i am swalwhe kiluvia ,i would like to have defefernt frends to share idea

Thursday, November 18, 2010

Dakata Wangare na mazingira

\
Mangare Maathai ambaye ni muasisi wa taasisi isiokuwa ya kiserikali green belt movement amepata  tunzo ya nobel kutokana na juhudi zake za kutetea  utawala bora ,kudumisha amani na uhifadhi mzuri wa mazingira nchini Kenya.

Taasisi hii iliasisiwa mwaka 1977 na dakta Mangare  Maathai ambaye ni mwanamke wa kwanza mwana mazingira kupata tunzo hii,ambaye aliepata tunzo hii mwaka 2004.

Dakta sio amelenga juhudi za kutunza mazingira nchini humo lakini pia kuwasaidia kina mama  wa Afrika ,kwa kuwa wao ndio wanapata dhiki zaidi kutokana na uharibifu wa mazingira kwa kupanda miti lakini pia kwakizazi kijacho.

Juhudi za kutunza mazingira suala la msingi kwa kila mtu hivyo ni vyema kuendeleza juhudi zilizianzisha na Dakta Mangare ili kudumisha juhudi hizi kwa mnafufaa ya waafarika wote na ulimwengu kwa ujumla.




No comments:

Post a Comment